GEORGIA, Marekani
MWANAMUZIKI wa kimataifa wa R&B, Bobby Brown hivi karibuni aliwaomba msamaha mashabiki waliohudhuria kwenye tamasha lake huko Atlanta, Georgia baada ya kusahau mashairi ya wimbo aliokuwa anaimba hali iliyosababisha yeye na madensa wake kupishana jukwaani.
MWANAMUZIKI wa kimataifa wa R&B, Bobby Brown hivi karibuni aliwaomba msamaha mashabiki waliohudhuria kwenye tamasha lake huko Atlanta, Georgia baada ya kusahau mashairi ya wimbo aliokuwa anaimba hali iliyosababisha yeye na madensa wake kupishana jukwaani.
“Samahani, siko katika hali ya kawaida usiku huu ingawa nafahamu wote mnanisikia vizuri na kucheza nami.Lakini bado ni fahari kuwa hapa,” msanii huyo aliwaambia wahudhuriaji baada ya kusimamisha muziki katikati ya tamasha kufuatia tukio hilo.
Post a Comment