MWANAMUZIKI nyota wa Nigeria, Davido, amesema ukosefu wa mafuta nchini humo uliotokea miezi ya Mei na Juni mwaka huu ambao ulisababisha matatizo makubwa, ulimfanya alazimike kuahirisha kutoa albamu yake mpya hivi karibuni.
Alisema pia mahafali yake ya kumaliza chuo ambayo ilifanyika mwezi Juni pia ulikuwa kipingamizi cha kutoa albamu yake hiyo mpya.
Post a Comment