2BBC119100000578-3213964-image-m-106_1440758254306
Spurs imefanikiwa kumsajili winga mshambuliaji aliyekuwa katika klabu ya Bayer Leverkusen ya Ujerumani Son Heung-Min ambaye ni raia wa Korea Kusini kwa mkataba wa miaka 5 baada ya kumfanyia vipimo vya afya na kufuzu. Dau la pound milioni 21.9 lilitosha kuishawishi klabu ya Bayer Leverkusen kumuachia winga huyo.
2BBC112800000578-3213964-image-a-107_1440758261499
Tottenham Hotspur inamleta Son Heung-Min aliyeifungia Bayer Leverkusen magoli 21 katika mechi 58 za Bundesliga ili aje kushirikiana na Harry Kane ambaye ni mshambuliaji wa kati tegemeo kwa klabu ya Tottenham Hotspur.
2BBC115500000578-3213964-image-a-108_1440758268628
2BBC119F00000578-3213964-image-a-110_1440758280327
PAPO KWA PAPO zipate habari zote zinazonifikia za

Post a Comment

 
Top