MWIMBAJI wa kike wa Nigeria, Waje, amefuta ziara yake aliyokuwa aifanye Afrika Mashariki kutokana na kifo cha bibi yake kilichotokea majuzi. Ziara hiyo ilikuwa ifanyike tangu Julai 2 hadi Julai 6 mwaka huu.
“Ninasikitika kufuta ziara ya Tanzania na Uganda, natumaini wapenzi wangu mtanivumilia ambapo nitakuja kuwa nanyi Tanzania na Uganda. Nawatakia Baraka zote. Asante sana,” mwimbaji huyo mrembo aliandika kwenye akaunti yake.
Post a Comment