BOSI na prodyuza wa kampuni la Mavin Records, Don Jazzy, amesema anategemea mwanamuziki Tiwa Savage, ajifungue mapema ili aweze kuendeleza harakati za kampuni lake katika ‘kutengeneza fedha’.
Tiwa ambaye sasa yuko London, Uingereza, akijitayarisha kujifungulia huko, alitangaza kupata ujauzito wake wa kwanza Januari 1, mwaka huu na akafanya sherehe ya kujitayarisha kumpokea mtoto anayetegemewa kuzaliwa Mei 17 mwaka huu jijini Lagos.
Post a Comment