Stori kubwa kutoka Morogoro leo July 01 2015 inahusu ajali ya basi aina ya Isuzu lililokuwa limepakia abiria ambalo limegongana na treni katikati ya Stesheni ya Kimambana Kilosa.
Ajali imetokea leo saa tano asubuhi, watu wanne wamefariki na kuna majeruhi 21 ambao walikimbizwa Hospitali baada ya kutokea kwa ajali hiyo… Majeruhi walipakiwa kwenye treni kuwahishwa Hospitali.
Hizi ni picha nilizozipata kutoka eneo la ajali hiyo Morogoro.
Stori nimeitoa >>>>MICHUZI BLOG
Post a Comment